Mpango wa PASCH
Shule: Washirika kwa Ajili ya Kesho
Takwimu na Maelezo
ndio mwaka mpango ulipozinduliwa kwa mara ya kwanza na Goethe-Institut ikaanza kushirikiana na shule za mwanzo za PASCH.
ndizo nchi ambazo mtu angehitaji kusafiri ili kutembelea zaidi ya shule 700 za PASCH zinazoshirikiana na Goethe-Institut kwa sasa.
Wanafunzi wa PASCH wanaojifunza Kijerumani katika shule zinazoshirikiana na Goethe-Institut kwa sasa.
Wanafunzi duniani kote waliopewa ufadhili wa kuhudhuria moja ya kambi za vijana za PASCH tangu mwaka 2008.
Washirika wa PASCH
Mpango wa PASCH unaratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani na kutekelezwa kwa ushirikiano na Wakala Mkuu wa Shule za Nje (ZfA), Goethe-Institut, Shirika la Ujerumani la Ushirikishaji wa Kitaaluma (DAAD) na Idara ya Ushirikishaji wa Kielimu (PAD) ya Jopo la Mawaziri wa Elimu na Masuala ya Utamaduni wa Majimbo ya Ujerumani.