Tamko

MTOAJI

Goethe-Institut e. V.
Oskar-von-Miller-Ring 18
80333 Munich
Telephone: +49 89 15921-0
info@goethe.de
www.goethe.de

USAJILI WA SHIRIKA

Mahakama ya Wilaya ya Munich, Usajili wa Shirika 5007

NAMBA YA MLIPA KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI

DE 129516430

MWAKILISHI

Bodi ya Utendaji: Johannes Ebert, Rebecca Cordes

MHUSIKA KULINGANA NA MAKUBALIANO YA UTANGAZAJI BAINA YA MAJIMBO § 55 (RUNDFUNKSTAATSVERTRAG, RSTV)

Jakob Racek
Abteilungsleitung Information
Goethe-Institut e. V.
Oskar-von-Miller-Ring 18
80333 München

Makala zinazotolewa kwa jina si lazima kuwa zinawakilisha maoni ya wahariri.

TAMKO LA KISHERIA JUU YA MUUNDO WA SHIRIKA

Goethe-Institut e. V. ni shirika linalofanya kazi zake duniani kwa malengo ya kukuza lugha ya Kijerumani nchi za nje, kudumisha ushirikiano wa kimataifa katika nyanja za utamaduni, na kutoa taswira pana ya Ujerumani ikiwa ni pamoja na utamaduni wake, shughuli za kijamii na kisiasa.

Inafanya kazi kulingana na Satzung iliyoafikiwa na Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Rahmenvertrages.

Impressum hili linatumika pia kwa kurasa zote za nchi na taasisi za Goethe-Institut kwenye mitandao ya kijamii, kwa mfano kurasa zetu za Facebook, akaunti zetu za X, na chaneli zetu za YouTube.

Kuwasiliana

Tafadhali tumia fomu yetu ya mawasiliano ili kuwasiliana nasi Kontaktformular.Kituo cha mawasiliano kwa ajili ya mamlaka za nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya, Tume ya Ulaya, na Baraza la Ulaya la Huduma za Kidijitali: dsa@goethe.de. Mawasiliano na kituo cha mawasiliano yanaweza kufanyika kwa Kijerumani au Kiingereza.

Usuluhishi wa migogoro

Tuko tayari kushiriki katika mchakato wa usuluhishi nje ya mahakama mbele ya kituo cha usuluhishi wa watumiaji. Mamlaka yenye jukumu hili ni Kituo cha Usuluhishi wa Kitaifa cha Shirikisho kilicho katika Kituo cha Usuluhishi e.V., Straßburger Straße 8, 77694 Kehl am Rhein,
www.universalschlichtungsstelle.de.

Bila kujali hilo, tunalazimika, kulingana na Kifungu cha 3 herufi i cha Sheria ya Huduma za Kidijitali (DSA), kushiriki katika utatuzi wa migogoro nje ya mahakama kuhusiana na maamuzi yanayohusu malalamiko, pamoja na malalamiko ambayo hayakutatuliwa kupitia mfumo wetu wa ndani wa kushughulikia malalamiko. Watumiaji wanaohusika, wakiwemo watu binafsi au taasisi zinazowasilisha taarifa, wanaweza kuchagua kituo cha utatuzi wa migogoro kilichoidhinishwa na Mratibu wa Huduma za Kidijitali kwa ajili ya jambo hili
(https://www.dsc.bund.de/DSC/DE/5Streitb/start.html).  

Tufuatilie