Kutuhusu

Kuwasiliana na dunia.
Kwa hali anuwai, maelewano na kuaminiana.

Tunaleta watu pamoja duniani kote. Kama taasisi ya utamaduni ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani, tunachochea ufungamano katika utamaduni, elimu na harakati za kijamii katika muktadha wa kimataifa, na kusaidia katika ufundishaji na ujifunzaji wa lugha ya Kijerumani. Pamoja na washirika wetu, tunatazama fursa na changamoto zinazoikabili dunia, kuleta pamoja fikra tofauti katika majadiliano yenye msingi wa kuaminiana. Tunachukulia uwezo wa kusikiliza na kutafakari kama msingi maelewano. Tunafuata kanuni za uwazi, hali ya kuwa anuwai na uendelevu. Kanuni hizi hutoa taswira ya huduma na mtindo wetu wa kufanya kazi.  

Utaratibu

Kazi na Malengo

Tunasimamia mafunzo ya Kijerumani nchi za nje na kuhimiza kushirikishana utamaduni duniani.

Wafanyakazi

Unaweza kuwasiliana na wafanyakazi wa Goethe-Institut Dar es Salaam moja kwa moja.

Kazi

Fursa za kazi na wnafunzi walioko mafunzoni Dar es Salaam.

Washirika na wafadhili

Goethe-Institut ni taasisi ya utamaduni ya Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani inayofanya kazi duniani kote. 

Tutembelee

Anwani

Alykhan Road No. 63, Upanga
P.O. Box 9541 Daressalam
Tansania

Mawasiliano

Simu

+255 22 213 4800

Barua pepe

info-daressalaam@goethe.de

Muda wa Kazi

J1-Ij 2:30asb–7:30mch, 8:30mch–17:00jio

J3-Al 4asb–7mch, 8mch–11jio

Ij 4asb–7mch

Miradi

Tufuatilie