Maendeleo ya Kitaaluma nchini Tanzania

Fortbildung in Tansania © © John Lusingu Fortbildung in Tansania © John Lusingu

Goethe-Institut Tanzania hutoa semina na matukio mengine kwa  walimu wa lugha ya Kijerumani.

Angalizo

Goethe-Institut Tanzania haitoi mafunzo ya ualimu wa Kijerumani. Hata hivyo, ili kukidhi vigezo vya kufundisha Kijerumani kama lugha ya kigeni, Goethe-Institut hutoa kozi inayotambulika kimataifa

 

Mawasiliano

Nassoro Nascov
Mkuu wa kitengo cha lugha
Tel. +255 22 2134800
nassoro.nascov@goethe.de

Juu