Upatikanaji wa haraka :

Nenda moja kwa moja kwenye maudhui (Alt 1) Nenda moja kwa moja kwenye ngazi ya kwanza ya urambazaji (Alt 2)

Maendeleo ya Kitaaluma nchini Ujerumani

 Maendeleo ya Kitaaluma nchini Ujerumani © Getty-Images, Sam Edwards

Ufadhili

Je, unapenda kushiriki semina ya maendeleo ya kitaaluma kutoka Goethe-Institut nchini Ujerumani?

Goethe-Institut hutoa

Semina za maendeleo ya kitaaluma

  • Kwa walimu wa lugha ya Kijerumani wa shule za msingi, sekondari na
  • ngazi ya chuo kikuu, and elimu ya watu wazima
  • Kwa wakufunzi wa walimu

Mafunzo ya lugha

maalumu kwa walimu wa lugha ya Kijerumani


Wafuatao wanaweza kushiriki:

1. Wanaofadhiliwa na Goethe-Institut

Goethe-Institut hutoa ufadhili kwa walimu wa lugha ya Kijerumani kushiriki shughuli mbalimbali za maendeleo ya kitaaluma nchini Ujerumani.




2. Wanaopewa ruzuku

Walimu wa lugha ya Kijerumani na wakufunzi wa walimu wa lugha ya Kijerumani wanaolipa ada za semina kupitia ruzuku kutoka kwenye taasisi za nchini mwao (Sokrates, Wizara ya Elimu, nk.).



Endapo unahitaji kufanya maombi kupitia wakala wa Sokrates aliyepo nchini kwako kupitia programu ya COMENIUS 2.2c, tafadhali omba upatiwe taarifa zaidi kutoka ofisi za wakala wa Sokrates


3. Wanaojigharamia wenyewe

Washiriki wanaojilipia ada za semina pamoja na gharaza za usafiri na malazi wao wenyewe.

Mawasiliano

Nassoro Nascov Picha: John Lusingu © Goethe-Institut Tanzania Nassoro Nascov
Mkuu wa kitengo cha lugha
Tel. +255 22 2134800
nassoro.nascov@goethe.de
Goethe-Institut
Usimamizi wa wateja
fortbildung-deutschland@goethe.de
Juu